Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Julai 8, 2018 amewaongoza wakazi wa Jiji la Dar es salaam katika mapokezi ya ndege mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuliimarisha Shirika la Ndege la Taifa (ATCL).
MTAZAME Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Khamis Kigwangala akizungumzia maporomoko ya Kalambo ambayo yanaaminika kuwa ya pili kwa urefu barani Afrika,yakitanguliwa na maporomoko ya Afrika ya Kusini.
Tanzania imebarikiwa kuwa na vivutio lukuki vya utalii vilivyopo katika maeneo mbalimbali hapa nchini.Tazama hapa vivutio kumi vinavyoongoza kwa ubora Tanzania na vimekuwa vinavutia wageni wengi ndani na nje ya nchi kuvitembelea.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa