SERIKALI ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt John Magufuli imetoa zaidi ya shilingi bilioni 37 kwa ajili ya upanuzi na ukarabati wa uwanja wa ndege wa Songea ili kuwezesha ndege kubwa kutua.
TAZAMA yaliyojiri wakati Rais Dkt John Magufuli akizindua ghala la mitambo ya gesi
Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imetembelea mradi wa ujenzi wa lami nzito katika Manispaa ya Songea zenye urefu wa kilometa 10.3 unaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 10.Mradi unaotarajia kukamilika Septemba 30,umefikia asilimia 72.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa