TAZAMA kivutio adimu cha utalii kilichopo katika milima ya Matogoro Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.Kivutio hiki adimu bado hakifahamiki na wengi.Ukipata muda tembelea kivutio hiki ambacho kinawashangaza wengi
Tazama namna siku ya tembo ilivyoadhimishwa katika Mkoa wa Ruvuma ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme.
September 27, 2018 ni siku ya 8, tangu kuzama kwa meli ya Mv. Nyerere na hadi leo ni siku 4, tangu zoezi la kukinasua Kivuko kutoka ndani ya maji lianze linaongozwa na Mkuu wa Majeshi Venance Mabeyo.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa