WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Mkoa wa Ruvuma kwa ujumla kwa kufanikiwa kupunguza vifo vya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano na kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria ambao unaongoza Tanzania kwa kusababisha vifo.
MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ametoa ametoa maagizo na maekezo kwa watendaji wa Halmashauri zote za mkoa wa Ruvuma.Ametoa maagizo hayo wakati anatoa Taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2015 kipindi cha Julai, 2017 hadi Juni ,2018 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea.Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho,Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Profesa Riziki Shemdoe,Wakuu wa Wilaya zote tano za Mkoa wa Ruvuma,watalaam ngazi ya Mkoa,viongozi na wajumbe mbalimbali wa CCM Mkoa wa Ruvuma
TAZAMA yaliyojiri katika ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa nchini China
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa