MASALIO ya aina tatu za mijusi ambayo inaaminika iliishi miaka milioni 240 iliyopita yamegundulika katika Pori la Akiba la Litumbandyosi,Bonde la Ruhuhu wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.Masalia ya mabaki ya mijusi hiyo,yamegundulika katika maeneo ya Manda,Lifua,Kingori na Usili ndani ya Bonde la Ruhuhu na kwamba masalia ya mijusi inaaminika imeishi miaka mingi zaidi duniani ukilinganisha na aina nyingine za masalia ya mijusi.
Extractive industries global overview understanding the extractive sector in Tanzania,laws,policies updates,from Ryan Powel of Media Development Associate from Natural Resources Governance Institute (NRGI).
MTAZAME Msemaji Mkuu WA Serikali Dk.Hassan Abbas anazungumza na wahabari nchini kuzungumzia ujio wa ndege nyingine mbili za serikali
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa