MTAZAMEaliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji ,Profesa Elisante Ole Gabriel anaeleza maana ya kiwanda na aina za kiwanda na kwamba mtu mmoja hadi wanne wanaweza kuanzisha kiwanda.
HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Septemba 13,2018 imesaini mikataba minne ukiwemo mkataba wa uendeshaji wa Bustani ya Manspaa ya Songea ambao umesainiwa baina ya Halmashauri ya Manispaa na Mwendeshaji aliyeshinda zabuni anayeitwa Neema Kajange.
Mkataba wa ununuzi wa mashine ya kuchapisha ramani (PLOTTER MACHINE) ambao umesainiwa baina ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Kampuni ya DON TECHNOLOGIES LTD ya Songea.Muda wa mkataba huo ni siku 45 wenye thamani ya shilingi milioni 28,900,000.00
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa