KAMATI ya fedha na Uongozi ya Baraza la madiwani Manispaa ya Songea imekagua mradi wa barabara katika kiwango cha lami ambapo jumla ya barabara saba zinafanyiwa ukarabati
TAZAMA Falsafa ya magauni manne ambayo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ambayo inaweza kupunguza changamoto ya mimba za utotoni katika Mkoa wa Ruvuma.
MTAZAME Msimamizi wa bustani ya manispaa ya Songea Neema Kajange akielezea mikakati ambayo itasaidia kuifanya bustani ya manispaa ya Songea kuwa na viwango vilivyokusudiwa.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa