Mkuu wa wilaya ya songea pololet Mgema amekiambia Kikao cha Kamati ya Ushauri wilaya ya Songea kuwa Kampuni ya simu ya Halotel imefunga minara miwili ambayo inawezesha kijiji cha Ifinga kilichopo Halmashauri ya Madaba wilaya ya Songea kupata Mawasiliano ya simu.Wananchi wa Ifinga wamekuwa wanasafiri umbali wa kilometa 15 hadi katika eneo la kona kali kupiga sim
MKUU wa wilaya ya Songea ameongoza Kikao cha Kamati ya Ushauri wilaya ya wilaya ya songea mkoani Ruvuma.Moja ya hoja zilizojitokeza ni Changamoto ya soko la mahindi
MTAZAME Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Owen Jasson akitoa taarifa ya utendaji kazi ya TAKUKURU Mkoani Ruvuma katika kipindi cha Julai-Septemba 2018 kwa wanahabari mjini Songea
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa