Makumbusho ya Taifa ya Majimaji yaliyopo Manispaa ya Songea, yamehifadhi vifaa na silaha halisi ambazo walitumia mashujaa hao kupambana na wakoloni wa kijerumani
Hii ni Makumbusho pekee nchini ambayo imebahatika kuwa na vifaa vyote asilia na muhimu katika historia ya mtanzania hali ambayo inaitofautisha makumbusho nyingine tanoTaifa za zilizopo hapa nchini.
SIku ya sokwe duniani imetangazwa na umoja wa mataifa kuwa itakuwa inaadhimishwa kila mwaka Julai 14.Tunapoelekea katika maadhimisho hayo tuangalie maisha ya sokwe.Sokwemtu anabeba mimba kwa muda wa miezi nane na nusu.lakini pia ananyonyesha kwa muda wa miezi sita,binadamu wanachagua marais,lakini pia sokwe wanachagua marais wao ambao wanapatikana kwa kupigana ambapo sokwe anayeshinda ndiyo anakuwa kiongozi wa sokwe.
MTAZAME Rais Dkt.John Magufuli wakati anawaongoza watanzania katika mapokezi ya ndege mpya kubwa ya aina yake ya Boeing ambayo imenunuliwa kwa fedha za watanzania.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa