Maandalizi ya kumbukizi ya mashujaa wa Majimaji ambayo hufanyika kila mwaka katika Makumbusho ya Taifa ya Majimaji yanaendelea vizuri kama anavyoeleza Mhifadhi Kiongozi wa Makumbusho hayo Barthazar Nyamusya
Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt John Magufuli imetoa shilingi milioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.
TAZAMA ngoma maarufu ya mganda ambayo asili yake ni wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa