Hatimaye Shirika la kimataifa la uhifadhi endelevu la WWF limefanikiwa kuratibu uundwaji wa Jukwaa la Maendeleo na uimarishaji wa uhifadhi ushoroba wa Selous-Niassa ambao upo katika hatari ya kutoweka kutokana na shughuli mbalimbali za kibinadamu zinazofanyika ndani ya ushoroba.
Fuatilia sehemu ya pili ya Historia ya wangoni toka Afrika ya Kusini hadi Tanzania kutoka kwa mjumbe wa Baraza la wazee wa makumbusho ya Majimaji Aidan Songea Mbano
TAZAMA moja ya kivutio adimu cha utalii duniani ambacho kinavutia wengi
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa