Inakadiriwa homa ya ini inaua watu zaidi ya Milioni moja kwa mwaka kulingana na WHO. Wizara ya afya imetilia mkazo juu ya kujitokeza kupima na kufanya chanjo ya homa hiyo.Inakadiriwa kuwa watu milioni 240 kote duniani wana kirusi cha Hepatitis B, idadi kubwa ya maambukizi ikipatikana bara Afrika na Asia.
AWAMU ya pili ya mgawo wa pikipiki 10 kati ya 21 zilizotolewa kwa Waratibu Elimu 21 wa kata 21 zilizopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma zimekabidhiwa leo katika viwanja vya ofisi ya Manispaa ya Songea.Waratibu Elimu Kata 11 tayari walikabidhiwa pikipiki 11 katika awamu ya kwanza.Pikipiki hizo zimetolewa kwa waratibu elimu kata 2894 katika nchi nzima lengo likiwa ni kuzitumia kusimamia maendeleo ya elimu katika kata zao.
HALMASHAURI ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imefanikiwa kupunguza vyumba vya madarasa ya nyasi hali ambayo imepunguza utoro wa wanafunzi na kusaidia kuinua kiwango cha elimu.Zaidi fuatilia simulizi hii ya mabadiliko inayoweza kuleta mabadiliko katika Halmashuri nyingine nchini Tanzania
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa