SIku ya sokwe duniani imetangazwa na umoja wa mataifa kuwa itakuwa inaadhimishwa kila mwaka Julai 14.Tunapoelekea katika maadhimisho hayo tuangalie maisha ya sokwe.Sokwemtu anabeba mimba kwa muda wa miezi nane na nusu.lakini pia ananyonyesha kwa muda wa miezi sita,binadamu wanachagua marais,lakini pia sokwe wanachagua marais wao ambao wanapatikana kwa kupigana ambapo sokwe anayeshinda ndiyo anakuwa kiongozi wa sokwe.
MTAZAME Rais Dkt.John Magufuli wakati anawaongoza watanzania katika mapokezi ya ndege mpya kubwa ya aina yake ya Boeing ambayo imenunuliwa kwa fedha za watanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Julai 8, 2018 amewaongoza wakazi wa Jiji la Dar es salaam katika mapokezi ya ndege mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuliimarisha Shirika la Ndege la Taifa (ATCL).
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa