Mtazame Afisa Maliasili na utalii mkoa wa Ruvuma Afrikanus Challe akelezea kivutio kipys cha utalii ambacho ni ndege waliohamia Hifadhi ya Mwambesi mkoani Ruvuma.Ndege hao wametoka Hifadhi ya Taifa ya Kluger ya nchini Afrika ya Kusini
Tanzania itaanza rasmi ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme katika mto Rufiji baada ya kuaini mkataba na kampuni kutoka Misri.Originally published at - https://www.voaswahili.com/a/4697760....
Mkataba wa ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la umeme katika Mto Rufiji umesaini rasmi Ikulu.Mradi huu utakapokamilika utachochea uchumi wa viwanda,kukabiliana na uharibifu wa mazingira na kuwa kivutio cha utalii
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa