KITUO cha Afya Kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea ambacho kimegharamu shilingi milioni 400 kinatarajia kukamilika Aprili mwaka huu.Kituo hicho kina majengo manne ambayo ni jengo la Mama na Mtoto,Upasuaji,Huduma za wagonjwa wa nje na maabara.
CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali ya Mitaa(TALGHWU) mkoani Ruvuma kimezindua vitambulisho vyake vipya kwa wanachama wake.Katika uzunduzi huo jumla ya vitambulisho 460 vimegawiwa kwa wanachama wake wa Manispaa ya Songea
JAKAYA Group ni kikundi cha ngoma ya lizombe cha Lizaboni Manispaa ya Songea ambacho kimeongoza katika Tanzania katika mashindano ya ngoma za asili zilizofanyika Tukuyu Mbeya na kushirikisha vikundi 175
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa