MTAZAME Mwanafunzi wa sekondari ya wavulana Songea Emanuel Matiko akizungumizia uhusiano wa sokwe na binadamu siku ya maadhimisho ya sokwe duniani ambayo hufanyika kila mwaka Julai 14.
MWANASHERIA wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea anatolea ufafanuzi kuhusiana na tafsiri potofu ya Tangazo la Halmashauri ambalo imelitoa hivi karibuni kuhusiana na mapendekezo ya Rasimu ya sheria ndogo ndogo ambapo wananchi wanatakiwa kutoa maoni kuhusu mapendekezo hayo ambayo sio sheria.
MTAZAME Afisa wanyamapori wa mkoa wa Ruvuma Sarah Mokeha akizungumzia kuhusu wanyama aina ya sokwe wanavyofanana DNA na binadamu
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa