MRADI wa bustani ya Manispaa ya Songea umekamilika unatarajia kuanza kufanyakazi wakati wowote mwaka huu,ambapo Mkandarasi tayari amekabidhi mradi huo kwa Manispaa.
Mradi huo umefadhiliwa na Benki ya Dunia kwa gharama ya shilingi milioni 399.Hata hivyo mradi huo hadi kukamilika umetumia shilingi milioni 444,fedha zote zikiwa ni za mradi wa Benki ya Dunia
Hii Sio ndoto tena Technolojia Imekua sana, sasa unauwezo wa kuepuka foleni kwa kununua Gari linalo paa we unadhani gari hili litawezekana kuja tanzania na kama litakuja litakua na thamani gani Comment utuambie.
Hebu, nikuulize hivi wewe utahisi vipi ikiwa utakuwa ndani ya gari ambayo, haina dereva! Gari ambayo inaendeshwa au ni afadhali kusema inadhibitiwa tuseme kwa njia ya kopmyuta tuu? Gari hiyo haina usukani wala dereva. Kampuni kubwa ya Marekani Google imetangaza mipango yake ya kuunda magari mia moja ya aina hiyo, na magari hayo yamekuwa yakijaribiwa mjini California. Suluma Kassim wa BBC, anatueelezea zaidi.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa